Ijue, Dhiki Kuu na Unyakuo wa Watakatifu

Watu wa Mungu wanatakiwa kujua majira na wakati sahihi wa unyakuo na saa ya kurudi kwa Bwana Yesu kulichukua kanisa na kukusanyika mbele zake na kukaa katika makao yetu ya milele. Nimeandika kitabu hikio kuwasaidia watu wa Mungu kujua tupo katika majira gani ya kanisa ili waweze kujiandaa kwa ajili ya tukio hili kubwa litakalotokea muda wowote kuanzia sasa. Maandiko matakatifu yanasema kama mtu angelijua siku na saa atayokuja mwizi angelikesha. “Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake”. (Mathayo 24:36).

"1143232507"
Ijue, Dhiki Kuu na Unyakuo wa Watakatifu

Watu wa Mungu wanatakiwa kujua majira na wakati sahihi wa unyakuo na saa ya kurudi kwa Bwana Yesu kulichukua kanisa na kukusanyika mbele zake na kukaa katika makao yetu ya milele. Nimeandika kitabu hikio kuwasaidia watu wa Mungu kujua tupo katika majira gani ya kanisa ili waweze kujiandaa kwa ajili ya tukio hili kubwa litakalotokea muda wowote kuanzia sasa. Maandiko matakatifu yanasema kama mtu angelijua siku na saa atayokuja mwizi angelikesha. “Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake”. (Mathayo 24:36).

0.0 In Stock
Ijue, Dhiki Kuu na Unyakuo wa Watakatifu

Ijue, Dhiki Kuu na Unyakuo wa Watakatifu

by Charles Nakembetwa
Ijue, Dhiki Kuu na Unyakuo wa Watakatifu

Ijue, Dhiki Kuu na Unyakuo wa Watakatifu

by Charles Nakembetwa

eBook

FREE

Available on Compatible NOOK devices, the free NOOK App and in My Digital Library.
WANT A NOOK?  Explore Now

Related collections and offers

LEND ME® See Details

Overview

Watu wa Mungu wanatakiwa kujua majira na wakati sahihi wa unyakuo na saa ya kurudi kwa Bwana Yesu kulichukua kanisa na kukusanyika mbele zake na kukaa katika makao yetu ya milele. Nimeandika kitabu hikio kuwasaidia watu wa Mungu kujua tupo katika majira gani ya kanisa ili waweze kujiandaa kwa ajili ya tukio hili kubwa litakalotokea muda wowote kuanzia sasa. Maandiko matakatifu yanasema kama mtu angelijua siku na saa atayokuja mwizi angelikesha. “Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake”. (Mathayo 24:36).


Product Details

BN ID: 2940165062001
Publisher: Charles Nakembetwa
Publication date: 02/04/2021
Sold by: Smashwords
Format: eBook
File size: 169 KB
Language: Swahili

About the Author

Charles Nakembetwa Shamsulla a author and preacher of Gospel of Jesus Christ. He is also the author of BWANA OKOA NDOA YANGU, YOU CAN EASILY KILL FEAR [CONQUERING FEAR FACTOR] and KUSHINDWA SASA BASI. He holds Masters Degree in Public Administration specializing in Human Resources Management.

From the B&N Reads Blog

Customer Reviews