Hatua za Ukuaji wa Kiroho
Hiki ni kitabu ambacho ni msaada mkubwa sana kwa waamini, kwani kinatoa funguo muhimu na kweli muhimu zitakazomsaidia mwamini kukua katika kumjua Mungu. Kimejawa na miongozo mingi yenye kufaa katika mazingira halisi na ya kimaandiko, inayohusu ukuaji wa kiroho wa mwamini. Masomo yaliyotajwa hapo chini yametazamwa kwa upana:
  • Nini maana ya kuokolewa
  • Umuhimu wa Neno la Mungu
  • Ubatizo wa maji, agizo
  • Maombi, kipaumbele
  • Umuhimu wa ushirika
  • Umuhimu wa neema ya Mungu
  • Ukombozi kutoka katika vifungo
  • Kujawa na Roho Mtakatifu
Inapendekezwa kwamba wachungaji, walimu, na viongozi wa kanisa wakitumie kitabu hiki. Kitabu hiki ni muhtsari wenye kujitosheleza kwa mada zenye kufaa ambazo zitajenga msingi mzuri kwa waamini. Pia, kitakupatia mpangilio mzuri wa muundo wa ufundishaji utakaokusaidia kuwafundisha na kuwafunza wale wote ambao Mungu amekupatia dhamana ya kuwalea.
"1140589703"
Hatua za Ukuaji wa Kiroho
Hiki ni kitabu ambacho ni msaada mkubwa sana kwa waamini, kwani kinatoa funguo muhimu na kweli muhimu zitakazomsaidia mwamini kukua katika kumjua Mungu. Kimejawa na miongozo mingi yenye kufaa katika mazingira halisi na ya kimaandiko, inayohusu ukuaji wa kiroho wa mwamini. Masomo yaliyotajwa hapo chini yametazamwa kwa upana:
  • Nini maana ya kuokolewa
  • Umuhimu wa Neno la Mungu
  • Ubatizo wa maji, agizo
  • Maombi, kipaumbele
  • Umuhimu wa ushirika
  • Umuhimu wa neema ya Mungu
  • Ukombozi kutoka katika vifungo
  • Kujawa na Roho Mtakatifu
Inapendekezwa kwamba wachungaji, walimu, na viongozi wa kanisa wakitumie kitabu hiki. Kitabu hiki ni muhtsari wenye kujitosheleza kwa mada zenye kufaa ambazo zitajenga msingi mzuri kwa waamini. Pia, kitakupatia mpangilio mzuri wa muundo wa ufundishaji utakaokusaidia kuwafundisha na kuwafunza wale wote ambao Mungu amekupatia dhamana ya kuwalea.
3.99 In Stock
Hatua za Ukuaji wa Kiroho

Hatua za Ukuaji wa Kiroho

by Rev. David R. Wallis
Hatua za Ukuaji wa Kiroho

Hatua za Ukuaji wa Kiroho

by Rev. David R. Wallis

eBook

$3.99 

Available on Compatible NOOK devices, the free NOOK App and in My Digital Library.
WANT A NOOK?  Explore Now

Related collections and offers

LEND ME® See Details

Overview

Hiki ni kitabu ambacho ni msaada mkubwa sana kwa waamini, kwani kinatoa funguo muhimu na kweli muhimu zitakazomsaidia mwamini kukua katika kumjua Mungu. Kimejawa na miongozo mingi yenye kufaa katika mazingira halisi na ya kimaandiko, inayohusu ukuaji wa kiroho wa mwamini. Masomo yaliyotajwa hapo chini yametazamwa kwa upana:
  • Nini maana ya kuokolewa
  • Umuhimu wa Neno la Mungu
  • Ubatizo wa maji, agizo
  • Maombi, kipaumbele
  • Umuhimu wa ushirika
  • Umuhimu wa neema ya Mungu
  • Ukombozi kutoka katika vifungo
  • Kujawa na Roho Mtakatifu
Inapendekezwa kwamba wachungaji, walimu, na viongozi wa kanisa wakitumie kitabu hiki. Kitabu hiki ni muhtsari wenye kujitosheleza kwa mada zenye kufaa ambazo zitajenga msingi mzuri kwa waamini. Pia, kitakupatia mpangilio mzuri wa muundo wa ufundishaji utakaokusaidia kuwafundisha na kuwafunza wale wote ambao Mungu amekupatia dhamana ya kuwalea.

Product Details

ISBN-13: 9781596658738
Publisher: Zion Christian Publishers
Publication date: 12/02/2021
Sold by: StreetLib SRL
Format: eBook
File size: 3 MB
Language: Swahili
From the B&N Reads Blog

Customer Reviews