Punda Alivuruga Bunge

Punda Alivuruga Bunge ni hadithi ya kusisimua sana kuhusu punda wawili wanaharakati wa kuzitetea haki za wenzao. Wanavitumia vipawa vya kuhamasisha na kuisema lugha ya watu, kuvamia bunge, kuwasilisha malalamiko, na kutishia mgomo wa punda. Vituko vinavyofuata vikiwemo safari za Marekani na Mehiko vinatia nuru, vinachekesha, na vinazua taharuki ya utekaji nyara na ugaidi. Je, mikakati ya ukombozi itazaa matunda au itatibua nyongo?

Kitabu kimegawanywa sehemu mbili. Sehemu ya kwanza ni historia na maendeleo ya maisha yaliyoelekeza uvamizi wa bunge la kitaifa. Sehemu ya pili inafuata punda hao wawili kwenye safari yao Marekani walikojipata kwenye vituko vya kusisimua na vingine vya hatari.

1146179607
Punda Alivuruga Bunge

Punda Alivuruga Bunge ni hadithi ya kusisimua sana kuhusu punda wawili wanaharakati wa kuzitetea haki za wenzao. Wanavitumia vipawa vya kuhamasisha na kuisema lugha ya watu, kuvamia bunge, kuwasilisha malalamiko, na kutishia mgomo wa punda. Vituko vinavyofuata vikiwemo safari za Marekani na Mehiko vinatia nuru, vinachekesha, na vinazua taharuki ya utekaji nyara na ugaidi. Je, mikakati ya ukombozi itazaa matunda au itatibua nyongo?

Kitabu kimegawanywa sehemu mbili. Sehemu ya kwanza ni historia na maendeleo ya maisha yaliyoelekeza uvamizi wa bunge la kitaifa. Sehemu ya pili inafuata punda hao wawili kwenye safari yao Marekani walikojipata kwenye vituko vya kusisimua na vingine vya hatari.

14.97 In Stock
Punda Alivuruga Bunge

Punda Alivuruga Bunge

by Mungai Mutonya
Punda Alivuruga Bunge

Punda Alivuruga Bunge

by Mungai Mutonya

Paperback(Large Print)

$14.97 
  • SHIP THIS ITEM
    Qualifies for Free Shipping
  • PICK UP IN STORE

    Your local store may have stock of this item.

Related collections and offers


Overview

Punda Alivuruga Bunge ni hadithi ya kusisimua sana kuhusu punda wawili wanaharakati wa kuzitetea haki za wenzao. Wanavitumia vipawa vya kuhamasisha na kuisema lugha ya watu, kuvamia bunge, kuwasilisha malalamiko, na kutishia mgomo wa punda. Vituko vinavyofuata vikiwemo safari za Marekani na Mehiko vinatia nuru, vinachekesha, na vinazua taharuki ya utekaji nyara na ugaidi. Je, mikakati ya ukombozi itazaa matunda au itatibua nyongo?

Kitabu kimegawanywa sehemu mbili. Sehemu ya kwanza ni historia na maendeleo ya maisha yaliyoelekeza uvamizi wa bunge la kitaifa. Sehemu ya pili inafuata punda hao wawili kwenye safari yao Marekani walikojipata kwenye vituko vya kusisimua na vingine vya hatari.


Product Details

ISBN-13: 9789966828705
Publisher: Kilele Publications & Productions Ltd.
Publication date: 08/15/2024
Edition description: Large Print
Pages: 112
Product dimensions: 5.25(w) x 8.00(h) x 0.30(d)
Language: Swahili
From the B&N Reads Blog

Customer Reviews