Roho Mtakatifu
Mfariji si kitabu tu kingine cha theolojia, bali ni mwongozo unaofaa sana na muhimu wa kuingia katika njia ya maisha yenye kujaa na kuongozwa na Roho. Wale walio na shauku ya kumjua Roho Mtakatifu kwa undani na kupata uzoefu Wake watabarikiwa watakapousoma uchanganuzi wa Dkt. Bailey wa mambo saba yanayomhusu Roho Mtakatifu:
"1139619015"
- Nafsi Hai ya Roho Mtakatifu
- Huduma ya Roho Mtakatifu
- Roho Saba za Bwana
- Ubatizo wa Roho Mtakatifu
- Karama Tisa za Roho Mtakatifu
- Matunda Tisa ya Roho Mtakatifu
- Maisha Yaliyojaa na Kuongozwa na Roho Mtakatifu
Roho Mtakatifu
Mfariji si kitabu tu kingine cha theolojia, bali ni mwongozo unaofaa sana na muhimu wa kuingia katika njia ya maisha yenye kujaa na kuongozwa na Roho. Wale walio na shauku ya kumjua Roho Mtakatifu kwa undani na kupata uzoefu Wake watabarikiwa watakapousoma uchanganuzi wa Dkt. Bailey wa mambo saba yanayomhusu Roho Mtakatifu:
- Nafsi Hai ya Roho Mtakatifu
- Huduma ya Roho Mtakatifu
- Roho Saba za Bwana
- Ubatizo wa Roho Mtakatifu
- Karama Tisa za Roho Mtakatifu
- Matunda Tisa ya Roho Mtakatifu
- Maisha Yaliyojaa na Kuongozwa na Roho Mtakatifu
5.99
In Stock
5
1
![Roho Mtakatifu](http://img.images-bn.com/static/redesign/srcs/images/grey-box.png?v11.10.4)
Roho Mtakatifu
![Roho Mtakatifu](http://img.images-bn.com/static/redesign/srcs/images/grey-box.png?v11.10.4)
Roho Mtakatifu
5.99
In Stock
Product Details
ISBN-13: | 9781596658998 |
---|---|
Publisher: | Zion Christian Publishers |
Publication date: | 06/01/2021 |
Sold by: | StreetLib SRL |
Format: | eBook |
File size: | 2 MB |
Language: | Swahili |
From the B&N Reads Blog